wavuti.com Updates

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Napenda kuwataarifu kuwa blogu hii inapumzishwa rasmi na tovuti mpya imezaliwa kwa jina www.wavuti.com

This is to inform you that this blog has been retired. A new website to take her place is up and running at www.wavuti.com

Wednesday, October 14, 2009

TweetThis! Hotuba: Julius Kambarage Nyerere (pt 1/3) [updated]

Hotuba hii niliiposti mwaka jana, hivi leo nairudia ikiwa ni katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu, Baba wa Taifa, hayati Julius Kambarage Nyerere!

Hii ni rekodi kutoka kwenye kanda ya kaseti (audio cassette) niliyonayo yenye kumbukumbu ya hotuba aliyoitoa hayati Mwalimu mnamo siku ya Jumanne mwezi Machi tarehe ya 14 ya mwaka 1995 katika hoteli ya Kilimanjaro (sasa Kempinski).
Siku hiyo Mwalimu alizungumzia mengi ikiwa ni pamoja na "nyufa zinazoitikisa nyumba ya Tanzania". Mwalimu alisema:


(pleya itachukua muda kusikika kusikika kulinganana kasi ya intaneti unayotumia. Ikiwa husikii kwenye pleya moja, jaribu nyingine)

37 feedback :

Anonymous said... Tue Nov 11, 05:44:00 PM MST  

Hakika alikuwa nabii, zile nyufa alizoona ziliendelea na sasa naona zimekuwa mianya mikubwa kwenye kuta. Kama hatutaangalia, nyumba yetu itabomoka na kuanguka kama ya wakenya.

TJ Kyara
ePastor,

Anonymous said... Tue Nov 11, 07:13:00 PM MST  

Nazitafuta sana hotuba hizi.Ahsante Subi,wale TBC wanazibania sijui kwanini.

Egidio

Anonymous said... Wed Nov 12, 04:51:00 AM MST  

Katika hii alitabiri mambo yanayotokea sasa.Tamaa za viongozi upeo mfinyu katika maamuzi yao mwongozo wa sheria viongozi wanaofanya maamuzi yao kwa kushauriwa na wake zao na si sheria hawatufahi.Viongozi wetu wa sasa kuanzia Rais wanaongozwa na MAFISADI.TBC kuzibania hotuba hizi wanasababu za kisiasa kwani hotuba hizi na mambo wanayoyatenda ni matusi kwa uongozi uliopo.Ili angalau kuwakumbusha hawa viongozi wetu ingeliku vyema wakawa wanazirusha kwa vipande angalau mara moja dakika tano kila baada ya taharifa ya habari ya jioni.uwenda itawasaidia kutafakari wapi walikotoka na wapi wanapokwenda.MUNGU IBARIKI TANZANIA.Advocate Jasha

Anonymous said... Wed Nov 12, 12:22:00 PM MST  

hii ni muhimu saaanaaaa kwa kipindi hiki jamani kwanini hawaweki hizo kumbukumbu watu wazima na watoto wasikie

Anonymous said... Wed Nov 12, 02:27:00 PM MST  

Another good one Subi !
Keep up the good works
John Ngowi

Anonymous said... Wed Nov 12, 02:47:00 PM MST  

huyu hana mpinzani duniani labda kidogooooooooooo labda mr obama. sasa hii naomba kwa hesha na taadhima hutba kama hii iwekwe kila siku watu wafunue vichwa yvyo nakuombeni viongozi wetu wa sasa mlio madarakani huu ndio urithi sio maneno . MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU UBARIKI MUUNGANO WETU.

Anonymous said... Wed Nov 12, 07:33:00 PM MST  

Yaani hii ni ya kufunga mwaka maana umeitoa kwenye wakati muafaka. Nafikiri Mwalimu Nyerere hakuwa tu Mwalimu bali na vipaji vingine kama vya utabiri. Huu utabiri aloutoa mwaka 1995 kwamba yatatokea, ndo hayoo tunaayaona sasa hivi. Na hao wabunge wa Bongo wanakaaa kupoteza muda na pesa bungeni wakijaadili mambo ambayo tayari washajua outcome zake, i dont understand them. Hivi kwanini wasiprint hizo hotuba na kuzisoma kwa wakati wao badala ya kupoteza mapesa kwa kukaa bungeni na wananchi wanashida kibao.
Maoni yangu kwako: KAZI YA KUTUNZA MAKTAABA YA TAIFA INAKUFAA SAANA! Hebu jaribu kufuatilia.
Amelda

Anonymous said... Wed Nov 12, 07:46:00 PM MST  

Labda hotuba kama hizi zilisha disapear siku nyingi ndo mana viongozi wetu wa sasa hawana cha ku refer. hebu fanya mapango wa kuwapostia hii kabla haijawa too late.

Amelda

Anonymous said... Fri Nov 14, 12:19:00 AM MST  

Hi, Thanks for your endless effort. Is ity possible and is it allowed for me to copy/download the speech so as to listen later when I have spare time.

Nyati

nyati04@yahoo.com

Anonymous said... Sun Nov 23, 10:11:00 PM MST  

This is very nice. Can you allow us to download, as you know our internet speed is so poor so it takes long time play.

Keep it up!

Subi Nukta said... Mon Nov 24, 12:16:00 AM MST  

Anonymous @ Mon Nov 24, 08:11:00 AM EAT
Send me your email address.
My contact details at the top of the page (Wasifu Wangu)

Anonymous said... Wed Nov 26, 10:22:00 PM MST  

asante sana , hua napenda sana kupata vitu vya kihistoria

Anonymous said... Thu Nov 27, 03:46:00 PM MST  

da subi, big up, unafanya kazi nzuri SANA!tafadhali KM INAWEZEKANA nitumie hizo hotuba ktk, vimtwe@yahoo.com

Subi Nukta said... Thu Nov 27, 03:54:00 PM MST  

vimtwe,
Inaelekea inbox yako imejaa sana, nipe anwani ya inbox yenye nafasi. Nimekutumia ikawa hivi:

Delivery to the following recipient failed permanently:
vimtwe@yahoo.com
Technical details of permanent failure:
Google tried to deliver your message, but it was rejected by the recipient domain. We recommend contacting the other email provider for further information about the cause of this error. The error that the other server returned was: 554 554 delivery error: dd Sorry your message to vimtwe@yahoo.com cannot be delivered because it is too large. - mta154.mail.ac4.yahoo.com (state 18).

Anonymous said... Fri Nov 28, 01:47:00 PM MST  

MIMI NASHANGAA KWA NINI WATU WA MAGHARIBI HASA UK NA USA HUWA HAWAMSIFII HUYU MTU KAMA ALIKUWA GREAT LEADER OF NOT JUST TANZANIA BUT THE WORLD. KWA UNAFIKI WAO WANAMSIFIA SANA MANDELA KWA VILE ALIFUNGWA TAKRIBANI MIAKA 30 NA KUTESWA SANA NA WAO, PIA MATESO YA WA-SOUTH NA SIASA YAO YA UBAGUIZI NA ALIPOPATA URAIS AKAWASAMEHE NA KUENDELA KUWAKUMBATIA BASI WAKAMUONA NI KIONGOZI MZURI KWA VILE AMEYALINDA MASLAHI YAO, KIFIMBO ALIYEKUWA ANAPAMBANA NAO IKIWEMO PAMOJA NA UHURU WANCHI ZA AFRIKA IKIWEMO SOUTH AFRIKA WALA HAWANA HABARI NAYE NA UKISOMA VITABU VINGI VILIVYOANDIKWA NA WAZUNGU WANAMPONDA SANA KWA VILE HAKUWAKUMBATIA KATIKA UONGOZI WAKE ALIKUWA NI MKWELI TUPU ALIKUWA ANAWAPE LIVE. KAZI NZURI SUBI ENDELEA KUTUHABARISHA.

NI MIMI EDWARD ALEX MKWELELE - UK

Anonymous said... Sat Nov 29, 12:47:00 AM MST  

naomba serikali na wananchi kwa ujumla tuwalinde maalbino

Anonymous said... Sat Nov 29, 04:23:00 PM MST  

Da Subi ahsante sana kwa jitihada zako, kwa kujaribu kunitumia nilichoomba, naomba usinichoke, jaribu kutuma katika vincemtwe@gmail.com, natanguliza shukurani.

Anonymous said... Sat Nov 29, 04:57:00 PM MST  

Subi, mambo vipi? Wat a good job dear. Naomba unipe favour moja p,se...., unaweza kunitumia hizi hotuba kwenye...hanscool80@hotmail.com. Nitashukuru kwa ushirikiano wako, ahsante.

Subi Nukta said... Sat Nov 29, 09:39:00 PM MST  

>> vincemtwe@gmail.com
Tizama inbox yako.

>> hanscool80@hotmail.com
nitumie akaunti yenye gmail.
Yahoo na Hotmail zote hazihimili ukubwa wa hotuba.

Anonymous said... Sun Nov 30, 03:35:00 AM MST  

Da SUBI, mungu akubariki sana, nimezipata hotuba, nimezipakua na zina-play vizuri, mungu akutangulie kwa kazi nzuri unayoifanya, we ni zaidi ya mwandishi wa habari - STAY BLESSED.

Ni mimi VIMTWE.

Subi Nukta said... Sun Nov 30, 08:07:00 AM MST  

VIMTWE
Nafurahi kusikia kuwa umepata nakala.
Asante kwa sifa, nawe ubarikiwe na kufanikiwa pia!

Anonymous said... Tue Dec 16, 05:07:00 PM MST  

kuna yale aliyoyafanya mazuri,lakini kuna mengi aliyoyafanya mabaya,hayana faida hata kidogo na maslahi ya taifa alikuwa hakubali kupigwa.lakini tuendelee kusoma mpaka sote tujue ukweli wa mambo kwa nini wamagharibi hawamsifii nyerere?

Anonymous said... Mon Dec 29, 08:41:00 PM MST  

Mna Mtu kama Sherifu Hamadi wa CUF,ndio mmoja wa vyanzo vya ubomoaji wa Nyumba Hiyo kutokana na nyufa hizo zinazoongelewa!Anayeongelea "mzanzibari au mtanganyika" katika siasa,ujue anataka madaraka tu,sio kumfikiria raia wa kawaida!Ni mwongo huyo,pia ni fisadi wa madaraka katika siasa!Watanzania: ni vizuri kukaa na shetani unayemjua,kuliko husiemjua! CCM inahitaji kujirekebisha tu! Je,jiulize wewe,CUF inaweza kubadili mambo au kutunza amani kama CCM chini ya Hamadi? Je CHADEMA inaweza kuleta mabadiliko hayo chini ya Mbowe? Hawa wakiingia madarakani tu,kwanza watajinufaisha kwanza ili wafikie kiwango cha CCM,je wewe mlalahoi utafikiriwa? Hata Kenya,waliondoa KANU,wakafikiri maisha yatakuwa mazuri,yako wapi sasa;mbona wanakimbilia Tanzania? Mtaikumbuka CCM,kama wakenya wanavyoikumbuka KANU! Hawa wapinzani wanatakiwa kubaki bungeni wakikemea rushwa;sio kupewa madaraka hata siku moja.

Anonymous said... Tue Oct 13, 04:45:00 AM MST  

Hi,
Thanks alot. Naomba nami nitumie katika nyati04@yahoo.com

Anonymous said... Tue Oct 13, 05:44:00 AM MST  

thanks da Subi for this,
naomba na mimi kwenye mogelaf@yahoo.com.
natanguliza shukrani.

Unknown said... Tue Oct 13, 09:31:00 AM MST  

Hi subi please nimeipenda kama hutajali pleaseaomba na mimi nitumie kwenye airportcf@gmail.com please ni faraja kubwa sana kuwa na hii kitu na kuisikiliza MUNGU IBARIKI TANGANYIKA MUNGU IBARIKI ZANZIBAR

Anonymous said... Tue Oct 13, 10:54:00 PM MST  

Mungu ibariki TZ, Mungu ibariki Subi! Txks a lot but please i need also ... i couldn't download... Alledros

Panchito said... Wed Oct 14, 08:58:00 AM MST  

Great stuff subi... Been wishing to have hotuba za Mwalimu na sasa zipo... thanx

Subi Nukta said... Wed Oct 14, 09:04:00 AM MST  

I am glad that you were able to listen to Mwalimu as well as have a copy of your own.

Anonymous said... Wed Oct 14, 11:52:00 PM MST  

Da Subi asante sana kwa mtiririko huu wa hotuba toka kwa mwalimu.Maneno haya ya hekima ndio urithi wetu sisi vijana wa sasa na vizazi vijavyo.....Tafadhali Da Subi ukipata nafasi naomba unitumie hotuba hizi kwenye e-mail yangu; jovin7@hotmail.com
Asante sana!

Anonymous said... Thu Oct 15, 09:49:00 PM MST  

Hello,

Thanks dada Subi. I really like this.

Honest.
MN.

Unknown said... Fri Oct 16, 07:47:00 AM MST  

Regardless of what other "ungrateful" people say about mwalimu, I loved and adored him for he really loved and served our country un-reserved. Never used his power to accumulate wealth for himself or his family like what we see today in our current leaders...Lord have mercy!

Subi Nukta said... Fri Oct 16, 08:32:00 AM MST  

I am sailing in your boat Tim.
I love this guy (RIP), what he said makes sense to me, blessed his heart!

Recent Comments . Kauli za Wasomaji

###recentComment###

More Opportunities ads