wavuti.com Updates

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Napenda kuwataarifu kuwa blogu hii inapumzishwa rasmi na tovuti mpya imezaliwa kwa jina www.wavuti.com

This is to inform you that this blog has been retired. A new website to take her place is up and running at www.wavuti.com

Sunday, October 11, 2009

TweetThis! Diego Armando Maradona ashangilia ushindi kihivi...

Ilikuwa ni kiecheko na nderemo kwa timu ya mpira wa miguu ya Argentina baada ya kuichapa Peru bao 2 kwa 1 na hivyo kuibuka mshindi katika mojawapo ya mechi za kinyang'anyiro cha kupata tiketi ya kucheza kombe la dunia litakalofanyika nchini Afrika Kusini hapo mwakani (2010). Kocha wa timu hiyo, Diego Armando Maradona alishindwa kujizuia furaha yake hasa ukizingatia kudorora na kupoteza mechi kadhaa hivyo safari hii alifanya malipizi na kupiga mbizi kiwanjani. Tazama video hapo chini baada ya picha...




0 feedback :

Recent Comments . Kauli za Wasomaji

###recentComment###

More Opportunities ads