wavuti.com Updates

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Napenda kuwataarifu kuwa blogu hii inapumzishwa rasmi na tovuti mpya imezaliwa kwa jina www.wavuti.com

This is to inform you that this blog has been retired. A new website to take her place is up and running at www.wavuti.com

Wednesday, August 12, 2009

TweetThis! Funny: Lazima tujue humu huwa wanaweka nini humu...

Nyani nao hawana simile, kila kitu wanapenda wachokonoe hadi wajue kunani. Walipatia kweli kweli kwa watalii hawa. Ni kama vile kila mmoja alikuwa anasubiria chake cha kumtoa, kila mmoja anasubiri kwa hamu. Cheki bobu mmoja kapata kofia ya kutesea mtaani, katoka chicha ile mbaya, lazima watamkoma! Nyani wadadisi...
Habari kamili inapatikana: http://www.knowsley.com/s_park/news.asp?rid=76






3 feedback :

PASSION4FASHION.TZ said... Wed Aug 12, 11:36:00 AM MST  

OMG.NIMECHEKA MPAKA!HAWA NYANI SIJUI NI WAFUASI WA MATONYA? LAKINI HAPANA,NAZANI NI WAJASILIAMALI WADOGO... WAMACHINGA? WANATAKA KUINGIA MITAANI NA BIASHARA YA MITUMBA,HUYO MWENYE KOFIA NDIO BITOZI,MBONA MTAANI WATAMKOMA HAHAHAHAAA UJANJA KUWAHI.

Subi Nukta said... Wed Aug 12, 07:59:00 PM MST  

Passion4Fashions.Tz, mie pia nilipoiona picha hii kwa mara ya kwanza, nilicheka sana na kubaki kushangaa udadisi wa hawa nyani. Sasa kama huyu wa mwisho huyu, inaelekea ana kumbukumbu ya kutosha maana ameweza kukumbuka kuwa hii kitu inaenda kichwani na si kwingineko.

Recent Comments . Kauli za Wasomaji

###recentComment###

More Opportunities ads