Marufuku ya dawa ya Metakelfin Tanzania - TFDA
Dawa hizo bandia hazina kiwango cha kemikali inayohitajika kwa ajili ya kuua vimelea vya malaria.
Anayeonekana katika picha ni Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, bi Margareth Ndomondo-Sigonda wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko hilo.
Habari hii imeripotiwa na Father Kidevu na Lukwangule Ent.



0 feedback :