wavuti.com Updates

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Napenda kuwataarifu kuwa blogu hii inapumzishwa rasmi na tovuti mpya imezaliwa kwa jina www.wavuti.com

This is to inform you that this blog has been retired. A new website to take her place is up and running at www.wavuti.com

Sunday, December 21, 2008

TweetThis! Amninginiza mwenzie dirisha la orofa ya tatu!

Lovers' spat?: The man hangs the woman upside down from the window in Kunming, ChinaMapenzi yanapogeuka kuwa chuki ni hatari sana. Binadamu unayempenda na kumwamini, kwa muda mfupi, anaweza kuwa kiumbe usiyetarajia kumwona maishani.

Basi katika kisa kinachosadikika kuwa cha ugomvi wa kimapenzi, almanusura kigeuke kuwa tukio la mauaji katika mji mmoja wa Kunming huko nchini China.

Tuki hilo lilinaswa na mpiga picha aliyekuwa akiendelea na shughuli zake za kawaida pale alikumbana na kisa chenyewe na hatimaye kuazimu kupiga picha tunazoziona hapa.

Terror is clear on the woman's face as the man appears to be on the verge of climbing out the window with herKijana mmoja alionekana akimning'iniza msichana, ambaye inasadikika ni mpenzi wake, katika dirisha moja la orofa ya tatu kwa muda wa zaidi ya saa mbili. Kwa muda wote huo, polisi walikuwa wakizungumza na kijana huyo kumsihi asimdhuru msichana aliyemsihikilia mateka.

The man finally pulls the woman inside - but holds a knife to her neckMara baada ya majadiliano baina ya polisi na kijana huyo yaliyodumu kwa muda usiopungua takriban saa mbili na nusu, kijana huyo alikubali kuondoka katika jengo hilo lakini akiwa na amemshikilia kisu shingoni. Watu wengi walikuwa wamesimama wakistaajabu kitendo hicho.

Kisa chenyewe kiliishia kwa kijana kukubali kujisalimsiha kwa askari baada ya wataalamu wa kuzungumza na watekaji walipoingilia kati na kuokoa jahazi.

Hiki si kisa cha kwanza kutukia katika enao hili la mji kwani, visa viwili vya kufanana na hivi vimetokea kwa nyakati tofauti. Kisa kingine kinachofanan na hiki kilitokea majuzi mwezi huu ambapo mtu mwenye kisu aliwajeruhi wanawake watatu kabla ya kumteka Muuguzi mmoja katika supamarkiti ya Carrefour.
Kabla ya polisi kumlaghai mwanaume huyo kwa bakuli la supu na kisha kumuua, kisa hicho kilidumu kwa muda wa saa nne

Na kisa kingine kilitukoa hapo Disemba 19 ya mwaka 2005, kilitokea kisa kinachokaribiana na hicho kaama kinavyoonekana katika picha zilizo kwenye linki hapa.

Crowds watch as the man is taken away by police
Kumbe mapenzi yanaweza kugeuka kuwa

.

0 feedback :

Recent Comments . Kauli za Wasomaji

###recentComment###

More Opportunities ads