wavuti.com Updates

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Napenda kuwataarifu kuwa blogu hii inapumzishwa rasmi na tovuti mpya imezaliwa kwa jina www.wavuti.com

This is to inform you that this blog has been retired. A new website to take her place is up and running at www.wavuti.com

Friday, July 04, 2008

TweetThis! Kufia hospitalini bila huduma

Fellow churchmembers say they served as a family for Esmin Green, shown in 2007, after she left Jamaica."Fellow church members say they served as a family for Esmin Green, shown in 2007, after she left Jamaica."

Katika kila jamii kuna raha na karaha zake, yapo mazuri na mabaya ambayo ama kwa hakika yanapishana kimo katika kila jamii.
Habari ya kusikitisha sana imetukia katika hospitali moja huko jimboni New York nchini Marekani ambapo mwanamke mwenye asili ya Jamaica alikosa huduma ya afya na hata msaada wa kuokoa uhai wake pale alipopatwa na kifafa hadi kukata roho akiwa sakafuni. Tukio zima lilichukuliwa katika video kamera iliyokuwepo katika chumba hicho hivyo kufutilia mbali utetezi wa watoa huduma katika kitengo hicho ati kwamba hawakuwa wazembe katika tukio hilo
Yaliyonisisimua:
Upon her admission, Green waited nearly 24 hours for treatment...During that time, according to the organization, workers at the hospital ignored her. 
At 6:35 a.m., the tape shows a hospital employee approaching and nudging Green with her foot, the group said. Help was summoned three minutes later. Video Watch the surveillance video » 
In addition, the organization said, hospital staff falsified Green's records to cover up the time she had lain there without assistance. Surveillance video shows Esmin Green on the hospital floor for more than an hour before anyone helps her.It is clear that some of our employees failed to act based on our compassionate standards of care."...seven employees have been fired or suspended: the chief of psychiatry, chief of security, a doctor, two nurses and two security guards....conditions at the facility are filthy. Patients are often forced to sleep in plastic chairs or on floors covered in urine, feces and blood while waiting for beds, the groups allege, and often go without basic hygiene such as showers, clean linens and clean clothes. The lawsuit claims that patients who complain face physical abuse and are injected with drugs to keep them docile. The hospital, the suit alleges, lacks "the minimal requirements of basic cleanliness, space, privacy, and personal hygiene that are constitutionally guaranteed even to convicted felons."
Habari kamili inapatikana CNN (bofya hapa kuisoma)

0 feedback :

Recent Comments . Kauli za Wasomaji

###recentComment###

More Opportunities ads