Audio & Text: Hotuba ya bajeti 2009/2010
Sikiliza bajeti ya Tanzania 2009/2010 iliyosomwa Bungeni tarehe tarehe 12 Juni 2009 na Waziri wa Fedha Bw. Mustafa H. Mkulo. Maandishi ya hotuba hii yanapatikana katika tovuti ya Bunge (.pdf format) hapa (bofya)
0 feedback :