wavuti.com Updates

-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Napenda kuwataarifu kuwa blogu hii inapumzishwa rasmi na tovuti mpya imezaliwa kwa jina www.wavuti.com

This is to inform you that this blog has been retired. A new website to take her place is up and running at www.wavuti.com

Thursday, April 23, 2009

TweetThis! Msaada : Swali kuhusu usajili wa magari ya LHD Tanzania

Wapendwa wasomaji wa blogu, mwenzetu anaomba maelezo/maelekezo kuhusiana na utaratibu wa kusajili na kutumia motakaa ambayo usukani na uendeshaji wake vipo upande wa kushoto yaani LHD. Anauliza hivi:
Je! Gari ambazo ni left hand driving zinaruhusiwa kutumika Tanzania?
Au je, kuna taratibu zozote kuhusu gari hizi?
Mtu unaweza kuiingiza na ikasajiliwa sawa na magari ya right handed ambayo ni common nchini kwetu?
Samahani, nauliza hivi kwa kuwa sielewi na ninatamani kwenda na gari ninayotumia hapa kwenye nchi ambayo endeshaji wake ni wa Left Hand.
Asante.

1 feedback :

yasinta said... Fri Apr 24, 12:51:00 AM MST  

Unaruhusiwa lakini itakuwa usumbufu kwa mtumiaji tu. Kwani mwaka juzi tulitumia gari aina hii,

Recent Comments . Kauli za Wasomaji

###recentComment###

More Opportunities ads